*SHAMBA LA EKARI 690 LINAKODISHWA LUGUFU-UVINZA, KIGOMA*
Shamba lipo karibu na Mto Lugufu na Malagarasi.
Shamba upande wa kushoto linapakana na Barabara ndogo na upande wa kulia Mto Lugufu.
*Shamba linafaa kwa Kilimo cha umwagiliaji*
Shamba ni pori halikuwahi kulimwa
Shamba linakubali mazao kama Mahindi, Maharage, Ndizi, Mihigo, Mchikichi n.k
Document: Title Deed
*Bei shilingi milioni 300 kwa mwaka mzima*
zain