boma la kisasa linauzwa – kisota, kigamboni
fursa ya kipekee ya kumiliki nyumba katika neighborhood ya kisasa na yenye mazingira mazuri ya kuishi.
vyumba 4 vya kulala (vyote master bedroom)
sebule kubwa na dining area
jiko la kisasa
fence na geti tayari
umeme tayari umefika
kiwanja cha sqm 700
hati halali ya wizara ya ardhi
eneo hili linafaa kwa makazi ya familia inayotafuta utulivu, usalama na thamani ya uwekezaji inayoongezeka kila siku.
bei: tzs milioni 150 tu
wasiliana nasi sasa