NYUMBA YA KISASA INAUZWA KWA BEI YA OFA!
Unatafuta nyumba ya kifahari yenye nafasi kubwa, usalama na mazingira mazuri ya kuishi? Hii ni fursa yako.
Ina vyumba 5 vya kulala, ambapo 4 ni Master Bedroom
Sebule kubwa na ya kisasa
Dining Area
Jiko lenye nafasi ya kutosha
Public Toilet
Nyumba ina Swimming Pool ya kuvutia kwa mapumziko na burudani ya familia.
Ina kisima cha maji, hivyo huduma ya maji inapatikana muda wote.
Usalama umezingatiwa kwa kuwa nyumba imezungushiwa fence pande zote na ina geti imara.
Ipo kwenye kiwanja cha SQM 800 kilichopimwa rasmi.
Ina Hati ya Wizara kwa uhakika wa umiliki.
Bei ya Ofa: Milioni 280 Tu.