Nyumba inauzwa na bank kigamboni wilayani na mwenyewe ameridhia. iko mita 100 toka main road
loc :kigamboni wilayani
area :sqm 1200
price : mil 140
umiliki:hati
cont.
call whatsapp &sms + kwenda whatsap moja kwa moja bonyeza>>
insta
sifa:-
-vyumba vinne vya kulala, viwili ni master
-sebule
-dinning
-jiko na stoo yake
-choo cha ublic
-packing
-fence
huduma zote zipo... gharama ya kupelekwa site ni sh elf 30. hii haihusishi usafiri
kujiunga na group letu la whatsapp gusa link:
mahitaji yako ya nyumba / vyumba/maeneo ya biashara ... ya kupanga na kununua... mashamba/viwanja/ magari nk ... usisite wasiliana nasi haraka