Nyumba nzuri sana inauzwa kigambon kibada kisalawe two - dar es salam.
ina vyumba vinne kati ya ivyo vwil ni master, dinning, sitting, kitchen&public toilet
umiliki: mauziano ya serikali ya mtaa (eneo limelasimishwa tayari)
ukubwa wa eneo: sqm 1000
nyumba iko mtaa mzuri umejengeka vizuri
maji ya dawasco na umeme vyote vipo
bei : 90 million (maongezi yapo)
gharama za kwenda site ni tshs 30,000/=