Kibamba, 4 Bdrm House/Ghorofa Inauzwa Bei Poa - Dar
.
• Mahali: Kibamba Shule, mita 800 kutoka Morogoro Road
• Hali ya nyumba: Ya kuhamia
• Ukubwa wa kiwanja: 3,500 sqm
• Nyaraka: Hati ya wizara
• Bei: TZS 165,000,000 (fixed)
.
√ ghorofa 1 (hakuna lift)
√ vyumba v4 (viwili self contained), sebule 2, dining, jiko, washroom ya jumuiya, balkoni na bindo
√ malumalu sakafuni, feni za juu, madirisha vioo,
√ paving, uzio, maegesho ya gari, eneo la bustani, maji na umeme wa kutosha
√ kuna eneo kubwa limebaki kwa ajili ya maendeleo mengine