*shamba la ekari 2.5 lina msingi wa ghorofa linauzwa kibamba kibwegere dar*
*distance* mita 300 kutoka lami
-eneo lina msingi wa ghorofa ya vyumba vinne vya kulala
mabwawa mawili ya kufugia samaki
mabanda ya kuku
migomba, miembe,mipapai na miti mbali ya matunda
ndani ya shamba kuna maji safi ya dawasa pamoja na kisima cha maji ya kudumu
*document* sales agreement (hati ya mauziano ya selikali za mitaa)
eneo limepimwa na kupandwa bikons (hati miliki itatoka kwa jina la mteja atakae nunua)
shamba lipo mtaa mzuri sana ulio jengeka na watu mashuhuli barabara safi inayopitika vyema na magari ya aina zote
*bei shilingi milioni 200 maongezi yapo*
gharama za kutembelea site elf 30
mawasiliano +
kujiunga na group letu la whatsapp bonyeza