Nyumba inauzwa kibamba,unaingia kona ya shule. Ina bedroom tatu za kulala, sitting room, Dining, kitchen public toilets, nyumba nzuli na.kuna nyumba 2 foundation... mteja anaweza jenga ya kupangisha au mabanda ya mifugo... kiwanja chake sqm 800. Ipo umbali wa kilometa 1.5 kutoka Barabara ya rami