Nyumba inauzwa nyumba ipo mkoa wa pwani kibaha kwa kipofu
nyumba ni ya vyumba v3 sebule daining jiko stoo chumba master
eneo sqm 800
bei mil 38
nyumba ipo mtaa mzuli sana wenye nyumba zilizo jengeka kimazubuti
ipo shule ya scondary ya selikali
na pia ipo karibu sana na hospital ya serikali
nyumba ipo umbali wa meter 500 tu
kutoka moro road
karibu sana mteja