Nyumba nzuli na ya kisasa inauzwa
nyumba ipo mkoa wa pwani kibaha kwa mathiasi
nyumba ipo msangani jeshini
km 6 toka moro road
usafili bajaji 1000
boda 2000
maji umeme vipo
nyumba ni ya vyumba v3 sebule jiko daining publc chumba master stoo
bei mil 28
hati mauziano selikali ya mtaa
eneo sqm 400
unaingia hiyo barabara ya rami kuja jeshini huku
karibu sana mteja