Hii nyumba kalli sana ipo kigamboni kibada mwela
Jiji la dar es salaam wilaya ya kigamboni
Njoo uiyone nyumba nzuri sana ina uzwa tsh million (53) TU
Vyumba vitatu vya kulala vyumba viwili ni masters programs ina sitting room
Na daining rooms ina jiko pamoja na store ina public toylet ina kisima chamaji na umeme upo wa luku
Ukubwa wa eneo square miter 437)
Ina documents ya mauziano ya office ya serikali ya mtaa
. kutoka barabara kuu ya lami.kuja kwenye hii nyumba ni dakika (10) TU
Kwa mwendo wa miguu
Ukitaji kuiyona nipigie cm au nichek inbox