Apartment ina vyumba 3 vya kulala kimoja ni master, sebule, jiko na public toilet ndani, inajitegemea luku yake yenyewe, ukilipa kodi inakua inajumuisha maji safi, ulinzi, takataka na usafi wa nnje, pia maji yake ni ya DAWASA, Lift + generator vyote vipo. Malipo ni miezi 6 karibu sana