Master (chumba na choo chake ndani) ina sehemu ya kupikia na balcony ya kufulia na kuanikia nguo.
Ipo floor ya 5 na inajitegemea luku yake yenyewe.
Ndani kuna kitanda, godoro, fridge,meza ya kusomea na meza ya kupigia pasi pamoja na pasi yake karibu sana