Appartment mpya na tulivu za kuishi, sebule, chumba na choo, na jiko. Appartment ziko mbili kwenye compound moja, na kuna uzio kwa TZS 150000 tu kwa mwezi. Nyumba zina maji na umeme(Mita ya kujitegemea). Nyumba ziko Buswelu Mwanza maeneo ya wilayani opposite na shule ya medium Gadis.