TANGAZO LA SHAMBA LINATANGAZWA KUUZWA
Linauzwa shamba lenye ukubwa wa hekari 10, lipo Itigi, Wilaya ya Singida, katika Kijiji cha Doroto.
Shamba lipo mita 100 tu kutoka barabara ya lami, hivyo linafikika kwa urahisi msimu wote.
Shamba linafaa kwa matumizi mbalimbali ikiwemo:
Kilimo cha mazao ya aina zote
Ufugaji wa kisasa
Makazi au uwekezaji wa maendeleo
Eneo ni zuri, lenye rutuba na mazingira tulivu, linafaa kwa mtu binafsi au mwekezaji.