> • Iringa Mjini Isakalilo
.
1. Petrol Station/sheli
> • Pampu 3: Diesel ina nozzle 2; Petrol ina nozzle 2; Diesel & Petrol ina nozzle 2
> • Tenki za Mafuta: Diesel lita 34,000 na Petrol lita 34,000
> • Car wash & service bay
> • Maduka, ofisi, c/room na public w/c
> • Uzio, peva, generator
> • Ukubwa wa eneo la sheli sqm 2,304
2. Kiwanja kwa Matumizi ya Kiwanda
> • Imependekezwa ujenzi wa kiwanda cha maji
> • Maji safi matamu ya kisima kirefu yapo tayari kwenye eneo
> • Ukubwa wa eneo sqm 2,503
3. Kiwanja kwa Matumizi ya Biashara
> • Imependekezwa ujenzi wa hoteli
> • Ukubwa wa eneo sqm 3,654
MAJUMUISHO/JUMLA
> • Eneo lote sqm 8,461
> • Nyaraka: Hati, Leseni na Vibali
> • Bei TZS milioni 950 (haipungui)
.
#InRealEstateWeConnect