Dumbbells - juu kushoto unaona seti ya dumbbell mbili. Kwa kuweka vipande vya uzito kwenye viboko vifupi, unafanya mazoezi ya mikono na mabega 2. Kettlebell - juu kulia. Chukua vipande vya uzito, viweke kwenye handle nyekundu yenye kushikilia, unapata kettlebell ya kufanya swings na mazoezi ya mwili mzima 3. Barbell ya moja kwa moja katikati chini. Unganisha viboko vyote viwili na ile fimbo ndefu nyeusi, unapata barbell ya mazoezi ya kifua, mgongo na miguu 4. EZ Bar - chini kabisa. Hiyo fimbo yenye mnyororo inaitwa EZ bar. Ni poa zaidi kwa mazoezi ya biceps kwa sababu inakaa vizuri mkononi na haumizi mkono 5. Rangi nyeusi na nyekundu - design inavutia na vipande vimefunikwa plastiki nyeusi hivyo hazifanyi kelele na haziharibu sakafu kama zikianguka