Nyumba inauzwa
ipo kitunda kivule njia panda ya shule
bei tsh milioni 80 mazungumzo yapo
ukubwa wa eneo sqm 937
umiliki: hati miliki ya wizara
vyumba 3 vya kulala
kimoja master
sitting room
dinning room
kitchen
store
public toilet
maji yapo
umeme upo
fenced and gate
gharama ya kupelekwa site kuona nyumba tsh 30,000/=