Nyumba inauzwa
ipo gongo la mboto majohe viwege
bei tsh milion 23
umiliki:mauziano ya serikali ya mtaa
ukubwa wa eneo sqm 450
vyumba 4 vya kulala
vyumba 2 self
sitting room
dinning room
kitchen
public toilet
fenced and gate
maji yapo
umeme upo
pia kuna frem 4 za biashara bado hazijakamilika ujenzi wake
gharama ya kupelekwa site kuoneshwa nyumba tsh 30,000/=