Nyumba inauzwa
location: kisemvule
bei tsh milion 45
ukubwa wa eneo sqm 550
ina vyumba 4 vya kulala
kimoja master bedroom
sitting room
jiko
public toilet
store
ina maji na umeme upo wa luku
parking ya kutosha
karibuni sana wateja wangu nyumba nzuri sana mpya kabisa
gharama ya kupelekwa kuona nyumba tsh 20000/=