Anyumba inauzwa ipo gongo la mboto stend wilaya ya ilala dar
bei milion 78 inapungua kias
unaweza pia kulipa kwa awamu (nusu nusu)
ina lesen ya makazi
vyumba v4 kimoja masta
dining siting jiko
ina mabanda ya kuku
kisima cha maji safi
ipo ndan ya fens
eneo sqm 1200
gari moja had mjini
whatsap au piga