NYUMBA INAUZWA 35 MILIONI IPO CHANIKA
Features...
Vyumba vinne
Kimoja master
Sebule, dining
Kitchen, store
Public toilet
Kiwanja square meters 400
Ina hati ya wizara
Ipo kwenye barabara kubwa ya mtaa
Ina umeme, maji
Ipo Chanika Mvuti Ilala Dar es Salaam
Karibu dalalimsomipuguchanika tukuhudumie kwa huduma bora uhakika na uaminifu.
Mteja Kwetu ni Mfalme