Nyumba Inauzwa milioni 40 Ipo Pugu Kajiungeni Manispaa ya Ilala Dar es salaam. Vyumba 3 Sitting room Chumba kimoja master Jiko na public Toilet. Nyumba Ina tiles na jypsum. Pia nyumba Ina maji safi na umeme. Kiwanja sqm. 500 Hati ya mauziano ya ofisi ya serikali ya mtaa.