*nyumba kali sana inauzwa binafsi*
location pugu kinyawezi dar es salaam tz
vyumba 3 vya kulala kimoja self
sebule
dinning
jiko/ store
public toilet
umeme
maji
tiles gypsum alluminiam windows
fence na gate
ukubwa sqm 300
umiliki- mkataba wa mauiziano wa serikali ya mtaa
bei mil 68
bei ni poa inahitajika pesa haraka
.