unaweza kulipa pesa yote au kwa awamu
nyumba inauzwa kivule makonde wilaya ya ilala dar stend centa
(unaweza kujenga fremu mbele)
bei milion 34 (inapungua usiogope)
vyumba v3 kimoja masta
dining siting jiko na stoo
tailz jipsam maji umeme
maji umeme
eneo sqm 400 (makadilio)
whatsap au piga