Nyumba inauzwa kitunda (kivule misitu) wilaya ya ilala dar
ina hati miliki ya wizara
bei milion 44 maongez yapo (usiogope)
vyumba v3 kimoja masta
dining siting jiko
jipsam ipo baadhi ya vyumba
umeme na maji vipo
(ujenzi wa fens unaendelea tofali ameanza kununua)
eneo sqm 420 (makadilio)
gari moja tu had mjini
unatembea tu had stend
whatsap au piga