Nyumba inauzwa
location- kivule bomba mbili dar
nyumba zipo mbili kwenye eneo moja
nyumba kubwa ina vyumba v3 kimoja self, ina jiko, dinning, na sitting room.
na nje kuna chumba kimoja , sebule na fremu moja.
maji umeme upo
unatembea tu had stendi ya daladala
bei milion 24 tu wahi chap inatakiwa pesa haraka