Nyumba inauzwa
ipo gongo la mboto-majohe viwege
umbali kutoka stendi mita 30 tu
bei tsh milion 35
ukubwa wa eneo sqm 200
document mauziano ya serikali ya mtaa
vyumba 3 vya kulala
chumba kimoja master
sitting room
public toilet
kitchen
fenced and gate
maji yapo
umeme upo