Nyumba mbili ndani ya kiwanja kimoja zote kwa pamoja zinauzwa
mahari ni gongolamboto majoe
bei tsh milion 110
ukubwa wa eneo sqm 1400
umiliki:mauziano ya serikali ya mtaa
1.nyumba ya kwanza ina
vyumba 3 vya kulala
chumba kimoja master
sebule
dinning room
jiko
public toilet
2.nyumba ya pili ina
vyumba 5 vya kulala
sebule
dinning room
public toilet
kuna jiko la nje na stoo
pia kuna fremu mbili za duka na vyumba 2
gharama ya kupelekwa site kuona nyumba tsh 30,000/=