Nyumba inauzwa
ipo chanika zingiziwa
bei tsh milioni 30
ukubwa wa eneo sqm 400
umiliki: mauziano ya serikali ya mtaa
vyumba 3 vya kulala
chumba kimoja master
sitting room
dinning room
kitchen
store
public toilet
tiles
gypsum
maji yapo dawasa
umeme upo
nyumba ipo ndani ya fensi
pia ina fremu 2 na chumba kimoja single na stoo
gharama ya kupelekwa site kuona nyumba tsh 30,000/=