Guest house inauzwa – msongola, ilala – dar es salaam! boss hii ni dhahabu
bei milioni 150 maongezi yapo wahi sasa !
maelezo muhimu:
vyumba 12 vyote ni self contained (master bedroom) – safi na vilivyojengwa kwa ubora
kuna counter ya vinywaji – tayari kwa biashara
chumba maalum cha wafanyakazi
eneo ni kubwa sana – unaweza kuongeza vyumba vingine ukitaka.
kuna kisima cha maji kirefu (mita 130) – maji baridi na ya uhakika 24/7
mnara wa tank la maji tayari, kuna electricity fence
umbali wa mita 100 tu kutoka lami – access nzuri sana! eneo tulivu, salama na lenye fursa nyingi za biashara.
mahali:
msongola – wilaya ya ilala, dar es salaam. ukichelewa hii mali tusilaumiane.