Nyumba ya vyumba 3 kimoja master, sebule dining jiko stoo pablic toilet ndani ya fensi, yenye eneo sqmita 400, inauzwa milioni 47,000,000/ ipo Mbagala Chamanzi, ipo mtaa mzuri wa kishua, huduma zote za kijamii zipo karibu na nyumba hii/Romeni John/D, kijana.