Apartment ya vyumba viwili sebule jiko master pablic yenye fenicha ndani ndani ya fensi, inapangishwa laki saba TSH 700,000/ kwa mwezi mmoja, malipo ni miezi sita na mwezi mmoja wa madalali, ipo Ukonga Mazizini, ipo mtaa wa kishua, huduma zote za kijamii zipo karibu na apartment hii/Romeni John/Mazizini.