Apartment ya vyumba 3 sebule dining jiko master pablic ndani ya fensi, inapangishwa laki sita Tsh 600,000/ kwa mwezi mmoja, malipo miezi sita na mwezi mmoja wa madalali, ipo Ukonga Mkolemba location, ipo mtaa wa kishua, huduma zote za kijamii zipo karibu na apartment hii/Romeni John.