Petrol station for sale dar es salaam tanzania
price: tshg two billion only
location: chanika - ilala - dar es salaam.
ina pampu 2-4 ( yaani pampu moja ina mashine 2
ukubwa eneo hekari moja (1heka)
ina sehemu ya service bay - car wash - kuna sehemu ya chumba unaweza fungua saloon au kitu chochote - kuna ofisi ya meneja - kuna choo cha wafanyakazi na wateja
pia kuna stand bay generator
wote mnakaribishwa sana bado ipo wahi mteja
office yetu inapatikana. chanika mwisho stendi