Hotel nzuri ya kisasa
inauzwa ipo kariakoo
katikati ya living ston na lumumba.
ina floor 5 njia ya lift ipo ila hakumalizia kuifunga.
hotel inafanya kazi
ina jumla ya vyumba 26 vyote self
bei ya room kuna 40,000 na vya juu ni 30,000
chini kuna bar nzuri inafanya kazi.
kuna ukumbi .
kuna paking kubwa ya magari chini.
mmiliki mmoja
yuko mikoani tunaongea na moja kwa moja .
anauza bil 2 tsh maongezi yapo kidogo.