Nyumba ya Biashara na makazi
-Ipo Mbeya Mjini Maeneo ya Igodima-Ikoroti.
-lpo eneo zuri kibiashara pembezoni mwa barabara.
-Upande wa mbele Ina fremu tano za biashara. upande wa nyuma ina vyumba vinne kwa ajili ya makazi (chumba na sebule)
-Bei ni Tsh milioni kumi "tu" (10,000,000/=)