Eneo linauzwa bomang’ombe bravia
mahali lilipo:
bomang’ombe bravia mita 130 kaskazini mwa barabara kuu ya moshi-arusha.
ukubwa wa eneo:
eneo lina ukubwa wa square meter 800
hali ya eneo:
eneo lipo tambarare na lina nyumba ya room 3.
eneo lina nyumba ya makazi lenye uzio wa ukuta.
eneo lina maji ya bomba na umeme.
bei ya eneo:
bei ya eneo ni milioni arobaini na tano (45,000,000/=).
nyaraka:
eneo halijapimwa, lina mkataba wa mauziano. mnunuzi ndiye atakuwa na jukumu la kushughulikia hati.
mawasiliano:
kwa mawasiliano piga simu kwa namba .