Nyumba inauzwa Goba kwa Robart,ina bedroom nne za kulala,sitting room, Dining, kitchen public toilet.hii nyumba mpya inataka tu kufanyiwa ukarabati ktk fensi kuweka paven fensi kuimalizia mambo ya rangi nk...
Mita 800 toka Goba Road.
Kiwanja chake sqm 1300+
Doccument sales agreement
Garama ya kwenda kuona
Servece charj Tsh 50000/=