Nyumba ina vyumba 4 vya kulala viwili ni master, sebule, dinning, jiko na public toilet ndani. Nyumba ina servant quarter ya vyumba 2 na choo, nyumba ipo mita 300 kutoka lami, nyumba hii ina hati miliki kutoka wizara ya aridhi (title deed), karibu sana maongezi yapo