Nyumba ina vyumba 4 vya kulala vyote ni master bedroom's, livingroom, kitchen and public toilet ndani. Ina garden nzuri, parking ya kutosha yenye paving blocks, pia ina servant quarter ya chumba, sebule na choo. Nyumba hii ina hati miliki ya wizara ya aridhi (title deed), karibu sana MAONGEZI KIDOGO YAPO