Nyumba ina vyumba 3 vya kulala, sebule, dinning, kitchen na public toilet ndani.
Nyumba ipo ndani ya fence inayoingiza gari na njia yake ni rafiki mpaka kwenye nyumba kwa aina yoyote ya usafiri.
Nyumba ina umeme na inajitegemea luku yake yenyewe pamoja na mita ya maji