*nyumba inauzwa na bank*
mbezi juu/goba kwa sanya
ina vyumba vitatu kimoja master,sitting, kitchen&public toilet
pia kuna frem moja ya biashara nje
umiliki: mkataba wa mauziano ya serikali ya mtaa (sales agreement)
ukubwa wa eneo: sqm 350
umbali : meter 300 kutoka goba road
bei : 16 million (makadirio)
gharama za kwenda site ni tshs 30,000/=
tuwasiliane +
kujiunga na group letu la whatsapp bonyeza hapa