Pop Ceiling, Sectionals, Tiled Floor, 24-hour Electricity, Chandelier, Dining Area, Dishwasher, En Suite, Hot Water, Kitchen Cabinets, Kitchen Shelf
Facilities
Yes
Parking Space
1200sqm
Property Size
Yes
Agency Fee
20000000
Agent Fee
Nyumba ina vyumba 3 vya kulala kimoja ni master, sebule, dinning, jiko na public toilet ndani. Nyumba imekamilika kwa kila kitu yaani maji na umeme vipo na huduma zote za kijamii zinapatikana kwa urahisi. Pia nyumba ipo umbali wa mita 600 kutoka barabara kuu ya lami... pia kuna servant quarter yenye chumba master mara 2... karibu sana maongezi yapo