Nyumba inauzwa na mwenyewe goba lastanza
iko umbali wa kilomita 1.5 toka lami
plot size: sqm 700
bei: tsh milioni 85
umiliki:hati
mawasiliano
piga, whatsapp &sms + kwenda whatsap moja kwa moja bonyeza>>
insta
sifa za nyumba:-
-vyumba vitatu vya kulala
-chumba kimoja ni master
-sebule
-dinning
-jiko na store
-choo cha public
-ndani ya fence
gharama ya kupelekwa site ni sh elf 30. hii haihusishi usafiri
kujiunga na group letu la whatsapp gusa link: (mdx)