Flemu nzuri sana (maduka) zinapangishwa goba.
zinatazama barabara kuu ya goba masana
ziko sehemu iliyochangamka na yenye biashara
kodi: kuna flemu za sh 300,000 kwa mwezi na sh 200,000 kwa mwezi× 6
pindi ulipiapo kodi malipo ya dalali ni kodi ya mwezi mmoja na inalipwa na mpangaji
hizi ni za kuwahi sana. kupelekwa kukagua ni sh elfu 15
mawasiliano: +2557150900904