*Nyumba inauzwa Dodoma*
Chidachi
Muundo wa Nyumba: *Ina vyumba 3 ndani Master zote, Public Toilet, Jiko, Dinning room , store na Sebule*
Nje (*Kuna Jiko la Nje, Choo cha mjee na kuna Chumba kimoja master ghorofani)*
Kutoka kwenye Nyumba mpaka lami ni Mita 200
Maji Kisima na neighborhood ni nzuri mno
Nyumba inaweza tumika kama Full Furnished Apartment, Airbnb, kupangisha kwa mwezi au makazi
Kiwanja Kina Ukubwa Wa Sqm 700+
Document: Title Deed
*Bei shilingi milioni 400*
zain