Dodoma,, Kituo cha Mafuta au (petrol station) ,, KINAUZWA, Kiwanja Kina sq mita 1661,,full document na kinafanya Kazi, Kina pump 4 za kujaza mafuta ,, 2 za petrol , na 2 za Diezel,, Matank makubwa Mawili yenye ujazo wa liter elfu 40 Kwa kila moja ,,la Diezel na petrol ,, Kipo NALA(singida road) km 11 kutoka city center,, Bei ni bilioni 1 na milioni 200,. Nipigie twende site...
jab