bado ipo
kituo cha mafuta/sheri inauzwa dodoma
eneo lina 1670 sgqm
ina tank kubwa 2 za 40,000 lts moja ya diesel na petrol
ipo 20 km kutoka dodoma mjini
ipo singida road/nala mizani
bei 750 mil (posho 50 mil)
tuwasiliane chap
zimebak pump za mafuta tuu kaz inianze
10 % ya dalal kwa mauzo halisi ya sheli 700 mil
documents na vibali vyote ninavyo mwenyewe
sheli inatazama barabara ya lami ya singida road
ina ofisi,maduka madogo,sehem ya generator,tank za maji na vyoo vya public
umeme tayari upo