nyumba inauzwa binafsi – fursa ya kipekee!
unatafuta nyumba tayari kwa kuhamia au uwekezaji? hii ni nafasi nzuri usiyoipaswa kuikosa!
eneo: udindivu, mapinga – bagamoyo
bei: tzs milioni 39 tu
ukubwa wa kiwanja: 800 sqm
sifa za nyumba:
vyumba 4 vya kulala (1 master bedroom)
sebule kubwa (sitting room)
sehemu ya chakula (dining room)
jiko la kisasa (kitchen)
maji yanapatikana
umeme upo
inafaa kwa makazi ya familia au uwekezaji wa muda mrefu.
wahi kuwasiliana sasa kwa maelezo zaidi na kupanga kutembelea nyumba.
usichelewe – nyumba nzuri kwa bei nzuri huuzwa haraka!